Mzozo wa muda mrefu wa kampuni ya kielektroniki ya Huawei na serikali ya marekani umefikia kwenye sura mpya kwani hivi karibuni Google imatangaza kusitisha baadhi ya huduma zake kwa kampuni ya Huawei. Ikumbukwe kuwa Google ndio mmiliki wa mfumo wa Android, masoko ya Play Store pamoja na huduma nyingine ambazo hutumiwa zaidi na watumiaji wote […] More
Soma Zaidi Hapa : Google Yasitisha Baadhi ya Huduma Zake kwa Kampuni ya Huawei