Jumanne, 21 Mei 2019

Huawei Yaruhusiwa Kutumia Mfumo wa Android kwa Miezi Mitatu

Huawei Yaruhusiwa Kutumia Mfumo wa Android kwa Miezi Mitatu

Baada ya sakata la kampuni ya Huawei hapo jana kusitishiwa huduma zake na baadhi ya makampuni ya nchini Marekani ikiwepo kampuni ya Google ambayo inamiliki mfumo wa Android, hivi leo habari mpya zinasema kuwa Huawei imeruhusiwa kuendelea kutumia mfumo wa Android kama kawaida kwa muda wa miezi mitatu.Kwa mujibu wa tovuti ya The Verge, Huawei […] More

Soma Zaidi Hapa : Huawei Yaruhusiwa Kutumia Mfumo wa Android kwa Miezi Mitatu