Namba za simu huwa na kawaida ya kuwa na tarakimu 10 au zaidi pale zinapokuwa na namba za utambulisho wa nchi. Lakini hivi karibuni nchini Japan mambo yameanza kufikiriwa tofauti kwani nchini miaka ya karibuni wananchi wa nchini humo wataanza kutumia namba za simu zenye tarakimu zaidi ya 11. Kwa mujibu wa tovuti ya Japan […] More
Soma Zaidi Hapa : Japan Kuanza Kutumia Namba za Simu Zenye Tarakimu Zaidi ya 11