Ijumaa, 31 Mei 2019

Pengine Mambo Yameanza Kuwa Mazuri kwa Kampuni ya Huawei

Pengine Mambo Yameanza Kuwa Mazuri kwa Kampuni ya Huawei

Kwa kipindi cha hivi karibuni kampuni ya Huawei imekuwa ikikubwa na upinzani mkubwa wa kibiashara kutoka kwa marekani kupitia katazo lililo tolewa na raisi wa nchini humo la kampuni za marekani kuacha kufanya biashara na kampuni hiyo. Kwa takribani wiki nzima, kampuni ya Huawei imekuwa ikitolewa kwenye mashirikisho mbalimbali ya kibiashara ya kampuni za marekani, […] More

Soma Zaidi Hapa : Pengine Mambo Yameanza Kuwa Mazuri kwa Kampuni ya Huawei