WhatsApp imekuwa ikifanya mabadiliko kila toleo jipya la Android linapotoka, mabadiliko mapya kipindi hichi yanalenga kwa watumiaji wa simu za Windows Phone. Kwa mujibu wa ripoti kupitia blog ya WhatsApp, Watumiaji wa simu hizo za zamani hawatoweza kutumia programu ya WhatsApp kwenye simu zao hapo ifikapo tarehe 31 December 2019. Mbali na Windows Phone pia […] More
Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Kuacha Kufanyakazi Kwenye Windows Phone Zote