Kupitia mkutano wa WWDC 2019, kampuni ya Apple imetangaza ujio wa kompyuta mpya ya Mac Pro ambayo inasemekana kuwa na nguvu kuliko kompyuta zote za Mac na Macbook Pro. Mbali ya kuwa kompyuta yenye nguvu kuliko zote pia Mac Pro inasemekana kuwa ndio kompyuta ya bei ghali kuliko kompyuta zote za Apple zilizotoka hadi sasa. […] More
Soma Zaidi Hapa : Apple Yaja na Mac Pro Kompyuta ya Gharama ya Zaidi ya Tsh Milioni 13