Jumapili, 30 Juni 2019

Huawei Yaruhusiwa Kufanya Biashara Tena na Kampuni za Marekani

Huawei Yaruhusiwa Kufanya Biashara Tena na Kampuni za Marekani

Kipindi cha karibuni ni wazi umesikia kuhusu mvutano wa kibiashara uliokwepo kati ya marekani na china, mvutano ambao ulisababisha Raisi wa Marekani kutoa katazo la biashara kati ya kampuni ya kutengeneza vifaa vya kielektroniki ya Huawei na kampuni za Marekani. Hata hivyo katazo hili lilisababisha kampuni nyingi za marekani kusitisha kufanya biashara na kampuni ya […] More

Soma Zaidi Hapa : Huawei Yaruhusiwa Kufanya Biashara Tena na Kampuni za Marekani