Jumatatu, 17 Juni 2019

Instagram Kuja na Njia ya Kurudisha Akaunti Zilizo Dukuliwa (Hacked)

Instagram Kuja na Njia ya Kurudisha Akaunti Zilizo Dukuliwa (Hacked)

Kama akaunti yako ya instagram ilishawahi kudukuliwa ni wazi unajua jinsi livyo ngumu kurudisha akaunti yako. Mbali na ugumu uliopo pia unaweza kutoa pesa nyingi sana hasa hapa Tanzania kwa watu ambao wana uwezo wa kurudisha akaunti yako. Kuliona hili hivi karibuni Instagram imeanza kufanya majaribio ya sehemu mpya ambayo itaweza kusaidia kurudisha akaunti yako […] More

Soma Zaidi Hapa : Instagram Kuja na Njia ya Kurudisha Akaunti Zilizo Dukuliwa (Hacked)