Mitandao ya kijamii kwa sasa imekuwa ni sehemu kubwa ya utambulisho binafsi wa mtu, ndio maana kwa mujibu wa tovuti ya VOA, Takriban kila mtu atakaye omba visa ya kuingia Marekani atatakiwa kutoa akaunti zake za mitandao ya kijamii pamoja na taarifa zingine binafsi kama sehemu ya utaratibu mpya wa Marekani wa kuhakiki wahamiaji na […] More
Soma Zaidi Hapa : Mitandao ya Kijamii Kutumiaka Kutoa VISA Kuingia Nchini Marekani