Jumatatu, 3 Juni 2019

Mitandao ya Kijamii Kutumiaka Kutoa VISA Kuingia Nchini Marekani

Mitandao ya Kijamii Kutumiaka Kutoa VISA Kuingia Nchini Marekani

Mitandao ya kijamii kwa sasa imekuwa ni sehemu kubwa ya utambulisho binafsi wa mtu, ndio maana kwa mujibu wa tovuti ya VOA, Takriban kila mtu atakaye omba visa ya kuingia Marekani atatakiwa kutoa akaunti zake za mitandao ya kijamii pamoja na taarifa zingine binafsi kama sehemu ya utaratibu mpya wa Marekani wa kuhakiki wahamiaji na […] More

Soma Zaidi Hapa : Mitandao ya Kijamii Kutumiaka Kutoa VISA Kuingia Nchini Marekani