Baada ya kampuni ya Huawei kuzuiwa kufanya biashara na kampuni za marekani, mambo bado yanaendelea kuwa mabaya kwa kampuni hiyo baada ya hivi karibuni kampuni ya Facebook kuzuia simu za huawei kuja na apps za Facebook, Instagram pamoja na WhatsApp. Kwa mujibu wa tovuti ya Reuters, Facebook imepiga marufuku simu mpya za Huawei kuja na […] More
Soma Zaidi Hapa : Simu za Huawei Kuzuiwa Kuja na Facebook, Instagram na WhatsApp