Baada ya mgogoro wa kibiashara na serikali ya marekani, kampuni ya Huawei hivi karibuni ilitangaziwa kurusiwa tena kuanza kufanya biashara na kampuni za marekani. Maamuzi hayo yalifanywa na raisi wa marekani Donald Trump kupitia mkutano wa G20 uliofanyika mwezi uliopita. Hata hivyo habari mpya kutoka tovuti ya Reuters zinadai kuwa, kampuni za marekani zinategemewa kuanza […] More
Soma Zaidi Hapa : Huawei Kuanza Biashara na Kampuni za Marekani Ndani ya Wiki Mbili