Hivi karibuni kampuni ya Huawei iliripotiwa kuwa kwenya hatua za mwisho za kukamilisha mfumo wake mpya wa uendeshaji ambao unaitwa Hongmeng OS. Mfumo ambao ndio ulikuwa mbadala wa mfumo wa Android ambao kwa kipindi hicho ulikuwa umesitishwa na Google baada ya katazo la raisi wa marekani. Sasa habari mpya kutoka tovuti ya The Verge zinadai […] More
Soma Zaidi Hapa : Huawei Yadai Mfumo Mpya wa Hongmeng OS Sio Kwaajili ya Simu