Hapa Tanzania Tech tumeshaongelea sana tatizo la watu kulalamika kuhusu vifurushi vya bando au salio kuisha haraka bila hata kutumika kwa muda uliopangwa, vilevile katika kutafuta sababu tumeshaelezea sababu nyingi sana ikiwemo ile ya Data Roaming ambayo pengine hii ilionekana kuwa sababu kubwa kuliko zote inayo sababisha bando au salio kuisha kwa haraka. Kwa leo […] More
Soma Zaidi Hapa : Jinsi ya Kujua Apps Zinazotumia Data kwa Wingi (Android na iOS)