Baada ya kampuni za kutoa huduma za simu za Vodacom Tanzania na Tigo Tanzania kuwezesha mtandao wa 4G nchini Tanzania, hatimaye baada ya takribani miaka mitatu kampuni ya kutoa huduma za simu ya Airtel Tanzania nayo inategemea kuwezesha huduma hiyo ya 4G kwa wateja wake hivi karibuni. Kwa mujibu ya maelezo ya mmoja wa watoa […] More
Soma Zaidi Hapa : Hatimaye Kampuni ya Airtel Tanzania Kuwezesha Mtandao wa 4G