Baada ya kampuni ya Samsung kuzindua simu mpya ya Galaxy A10 mapema mwezi wa tatu mwaka huu, hatimaye hivi leo samsung imerudi tena na Galaxy A10s toleo jingine la simu hiyo ya bei nafuu kutoka Samsung. Galaxy A10s imefanyiwa maboresho na sasa inakuja na battery kubwa zaidi, kamera mbili kwa nyuma pamoja na sehemu ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A10s