Kampuni ya Samsung siku ya leo imetangaza ujio wa simu mpya za Galaxy A30s na Galaxy A50s, simu ambazo ni matoleo ya maboresho ya simu za Galaxy A50 na Galaxy A30 zilizotoka mwaka huu 2019 takribani miezi sita iliyopita. Kwa mujibu wa Samsung, simu hizo mpya za Galaxy A30s na Galaxy A50s zimefanyiwa maboresho mbalimbali […] More
Soma Zaidi Hapa : Samsung Yazindua Simu Mpya za Galaxy A30s na Galaxy A50s