Jumatano, 14 Agosti 2019

WhatsApp Kuleta Ulinzi wa Alama za Vidole kwa Watumiaji wa Android

WhatsApp Kuleta Ulinzi wa Alama za Vidole kwa Watumiaji wa Android

Hivi karibuni WhatsApp ilileta sehemu mpya ya ulinzi kwa alama za vidole kwenye programu yake ya mfumo wa iOS. Sasa hivi karibuni tegemea kupata sehemu hiyo kupitia simu za mfumo wa Android. Kwa mujibu wa tovuti ya Wabetainfo, sehemu hiyo itasaidia kuongeza ulinzi kwenye programu hiyo kwani kila mara ambapo utakuwa unataka kuingia kwenye programu […] More

Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Kuleta Ulinzi wa Alama za Vidole kwa Watumiaji wa Android