Kampuni ya Xiaomi hivi leo imeweka rekodi kupitia simu yake mpya ya Redmi Note 8 Pro, simu ambayo inabeba tuzo ya kuwa simu yenye kamera kubwa zaidi kuliko simu zote hadi sasa. Kwa mujibu wa tovuti ya Xiaomi, Note 8 inakuja kwa matoleo mawili tofauti ya Redmi Note 8 pamoja na Redmi Note 8 Pro […] More
Soma Zaidi Hapa : Xiaomi Redmi Note 8 Pro Simu ya Kwanza Yenye Kamera ya MP 64