Wakati jitihada za kuhamia kwenye mtandao wa 4G zikiendelea kwa baadhi ya makampuni ya simu hapa Tanzania, Afrika kusini imeingia kwenye historia kwa kuwa nchi ya kwanza kwa bara la Afrika kuwa na mtandao wenye kasi wa 5G. Kwa mujibu wa tovuti ya Forbes, kampuni ya kutoa huduma za simu ya nchini humo inayoitwa Rain, […] More
Soma Zaidi Hapa : Afrika Kusini Nchi ya Kwanza Afrika Kuwa na Mtandao wa 5G