Mwezi julai instagram ambayo ni sehemu ya kampuni ya Facebook ilianza kufanya majaribio ya kuficha idadi ya like kwenye picha mbalimbali kwenye mtandao wa Instagram. Majaribio hayo hadi sasa bado yanaendelea na inasemekana kuwa sehemu hii imeonekana kupendwa na watumiaji wengi kadri siku zinapokwenda. Hiyo ni moja kati ya sababu iliyo sababisha Facebook nayo kuanza […] More
Soma Zaidi Hapa : Facebook Nayo Kuanza Kuficha Idadi ya Likes kwa Watumiaji Wote