Ijumaa, 6 Septemba 2019

Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya za Nokia 7.2 na Nokia 6.2

Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya za Nokia 7.2 na Nokia 6.2

Hapo jana kupitia mkutano wa IFA 2019 ambao unafanyika huko Berlin, Ujerumani. Kampuni ya Nokia imeongeza idadi ya simu zake zinazotumia Android kwa kuzindua simu mpya za Nokia 7.2 pamoja na Nokia 6.2. Simu hizi zinakuja zikiwa ni matoleo yanayo fanana kwa sifa na simu ya Nokia 8.1 ambayo ilizinduliwa hapo mwaka jana. Nokia 7.2 […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya za Nokia 7.2 na Nokia 6.2