Jumanne, 17 Septemba 2019

Kampuni ya TALA Yasitisha Huduma Zake kwa Nchini Tanzania

Kampuni ya TALA Yasitisha Huduma Zake kwa Nchini Tanzania

Kwa mujibu wa ripoti za hivi karibuni kutoka tovuti ya mwananchi, inasemekana kuwa kampuni ya TALA ambayo inajihusisha na utoaji wa mikopo ya haraka kupitia simu za mkononi, imetangaza kusitisha huduma zake kwa hapa nchini Tanzania. Sehemu ya ripoti hiyo iliyo chapishwa kwenye akaunti ya Tala kwenye mtandao wa kijamii wa facebook inasema kuwa, “Tunakujulisha […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya TALA Yasitisha Huduma Zake kwa Nchini Tanzania