Alhamisi, 19 Septemba 2019

Kampuni ya Vodacom Tanzania Yaja na Ofa ya Bonge la Bando

Kampuni ya Vodacom Tanzania Yaja na Ofa ya Bonge la Bando

Kampuni inayotoa huduma za simu ya Vodacom Tanzania, hivi karibuni imetangaza ujio wa ofa yake mpya inayo julikana kama bonge la bando. Ofa hiyo imetangazwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi. Hata hivyo bonge la bando imetangazwa wakati mkurugenzi huyo Alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye uzinduzi […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Vodacom Tanzania Yaja na Ofa ya Bonge la Bando