Katika kuendelea kwa matokeo ya vita vya kibiashara kati ya kampuni ya Huawei na Serikali ya marekani, hivi karibuni wapenzi wa simu za Huawei huwenda wakashindwa kutumia soko la Play Store kwenye simu mpya za Huawei P30 zinazo tarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni. Kwa mujibu wa ripoti kutoka mtandao wa BBC, kampuni ya Huawei imeshindwa kupata […] More
Soma Zaidi Hapa : Tetesi : Simu za Huawei P30 Kuingia Sokoni Bila Soko la Play Store