Kampuni ya infinix imezidi kuboresha simu zake kadri muda unavyokwenda, siku za karibuni tumeona kampuni hiyo ikizindua simu mpya ya Infinix S5, simu ambayo inakuja na aina mpya kabisa ya kioo ambacho kina tundu la kamera ya mbele juu ya kioo na pia simu hii inakuja na kamera nne kwa nyuma. Ukijaribu kuangalia simu hiyo […] More
Soma Zaidi Hapa : Hizi Hapa Simu Bora za Infinix za Chini ya TZS 300,000