Kadri siku zinavyokwenda teknolojia inazidi kusonga mbela na mambo mengi ambayo zamani yalikuwa hayawezekana kwa sasa yana wezekana kwa urahisi kabisa. Kwa hapa Tanzania ilikuwa ni lazima mtu kubadilisha laini ya simu pale anapotaka kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwendalakini kwa sasa sio lazima kufanya hivyo kwani unaweza kuhamia mtandao mwingine bila hata kubadilisha […] More
Soma Zaidi Hapa : Jinsi ya Kuhama Mtandao wa Simu Bila Kubadilisha Namba Yako