Ni wazi kuwa mara nyingi kuna wakati unakuta simu imejaa apps nyingi ambazo hata huzitumi kwa wakati huo, lakini pia inapokuja swala la kufuta au (Uninstall) apps hizo bado pia inakuwa ni mthiani sana kwani ni lazima kuondoa app moja baada ya nyingine. Kuliona hilo leo nimekuletea njia rahisi ambayo unaweza kutumia kuondoa (Unistall) app […] More
Soma Zaidi Hapa : Jinsi ya Kuondoa (Uninstall) Apps Zaidi ya Moja kwa Wakati Mmoja