Hatimaye hivi leo oktoba 15, 2019 kampuni ya Infinix imezindua simu mpya ya Infinix S5 huko nchini India. Infinix S5 ni mrithi wa simu ya Infinix S4 ambayo ilizinduliwa hapa Tanzania takribani miezi mitano iliyopita. Infinix S5 inakuja na muundo mpya kabisa wa kioo huku ikiwa na sehemu ya kamera ya mbele iliyopo ndani ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Infinix Yazindua Simu Mpya ya Infinix S5