Jumapili, 6 Oktoba 2019

WhatsApp Kuja na Aina Mpya ya Meseji Zinazojifuta Zenyewe

WhatsApp Kuja na Aina Mpya ya Meseji Zinazojifuta Zenyewe

WhatsApp imekuwa ikifanyiwa maboresho mapya kila mara, hivi karibuni maboresho ambayo yanatarajiwa kuja kwenye programu hiyo inayomilikiwa na Facebook ni pamoja na aina mpya ya meseji ambazo hufutika zenyewe baada ya kipindi cha muda maalumu. Kwa mujibu wa tovuti ya WABetainfo, sehemu hiyo kwa sasa ipo kwenye programu ya majaribio ya WhatsApp Beta ambayo inapatikana […] More

Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Kuja na Aina Mpya ya Meseji Zinazojifuta Zenyewe