Kama unavyojua kila kitu ukizidisha ni tatizo, hata utumiaji wa smartphone uliopitiliza ni tatizo kubwa sana ambalo watu wengi hasa vijana wanalo lakini hawajui au wanachukulia poa kwa sababu wanaona kama sio tatizo kubwa. Kifupi ni kuwa, uraibu wa smartphone ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya uraibu ambayo mara nyingi yanahitaji kutibiwa kisaikolojia. Sasa kwa […] More
Soma Zaidi : Jinsi ya Kujua Mara Ngapi Unafungua Simu Yako kwa Siku