Ikiwa imebaki miezi michache hadi kufika mwezi wa pili mwaka 2020, mwezi ambao ndio unao tegemewa na wengi kuona teknolojia mpya zitakazoletwa na simu mpya za Samsung Galaxy 11, huku mtandaoni tayari tetesi zimeanza kuibuka kuhusu kamera za simu hiyo. Kwa mujibu wa tovuti ya GSMArena, Galaxy S11 inasemekana kuwa itakuja na kamera zaidi ya […] More
Soma Zaidi Hapa : Samsung Galaxy S11 Kuja na Kamera Kubwa ya Megapixel 108