Wakati kampuni za infinix na TECNO zikiwa tayari zimemaliza mwaka kwa simu zao zilizotoka hivi karibuni, kampuni ya Samsung yenyewe inajiandaa kumalizia mwaka na simu mpya ya Galaxy A51. Kwa mujibu wa tovuti ya Sammobile,, Samsung inategemea kufanya tamasha la uzinduzi wa simu zake mpya ambazo zinategemewa kufunga mwaka 2019 na kuanza mwaka 2020. Kwa […] More
Soma Zaidi : Jiandae na Simu Mpya ya Samsung Galaxy A51 Tarehe 12 Desemba