Alhamisi, 12 Desemba 2019

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A51

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A51

Hatimaye baada ya tetesi za muda mrefu, hivi leo kampuni ya Samsung imezindua rasmi simu zake mpya za daraja la kati zitakazo tarajiwa kuanza mwaka 2020. Galaxy A51 na Galaxy A71 ni simu mpya kabisa kutoka Samsung zilizo zinduliwa siku ya leo tarehe 12/12/2019 huko nchini Vietnam. Tukianza na Galaxy A51, simu hii inakuja na […] More

Soma Zaidi : Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A51