App namba moja kwa huduma ya muziki barani Afrika, Boomplay imemtaja msanii Diamond Platnumz, kuwa ndio mwanamuziki aliyesikilizwa zaidi Tanzania, kulingana na taarifa rasmi za muziki mwaka 2019. Taarifa hiyo iliyowekwa kwenye ripoti maalumu kuhusu muziki imeegemea zaidi data kutoka kwenye app hiyo ya muziki ambayo ina watumia zaidi ya milioni 60, ulimwenguni kote huku […] More
Soma Zaidi : Takwimu za Muziki Kutoka Boomplay kwa Mwaka 2019