Kampuni ya Facebook ambayo inamiliki mtandao wa WhatsApp, hivi karibuni ilikuwa na mpango wa kuweka matangazo kwenye programu yake ya WhatsApp. Lakini kwa mujibu wa tovuti ya The Wall Street Journal, inasemekana mpango huo kwa sasa umeahirishwa na programu ya WhatsApp itaendelea kutumika kama programu ya bure. Kwa mujibu wa tovuti hiyo inawezekana kuwa, bado […] More
Soma Zaidi : Facebook Yasitisha kwa Muda Kweka Matangazo WhatsApp