Kama wewe ni mfuatiliaji wa tovuti ya Tanzania Tech basi lazima utakuwa unajua hivi karibuni tulijifunza jinsi ya kuondoa maneno kwenye nyimbo yoyote na kubakiwa na beat. Lakini swali linabaki, inakuaje kama unataka kuondoa beat kwenye nyimbo yoyote na kubakiwa na maneno tu au acapella. Njia hii ni rahisi fupi na haraka hivyo sitaku potezea […] More
Soma Zaidi : Kuondoa Beat Kwenye Nyimbo Yoyote (Tengeneza Acapella)