Kama wewe ni mtumiaji wa huduma mbalimbali mtandaoni basi lazima unayo password au nywila kwenye huduma hizo unazotumia, lakini mbali ya kuwa password ni wazi kuwa watu wachache sana ambao wanajua kuwa kuna sheria muhimu ambazo zinaongo utumiaji wa password ikiwa pamoja na sheria za muhimu za kufuata ili kuwa na password bora. Kupitia makala […] More
Soma Zaidi : Zifahamu Hizi Hapa Sheria za Kuwa na Password (Nywila) Bora