Mlipuko wa virusi vya corona au coronavirus bado unaendelea kuwa tishio kwa dunia na wakati virusi hivyo vikiendelea kusambaa duniani, kampuni ya Apple imetengaza kufunga ofisi zake pamoja na maduka yake yote 42 nchini China kutokana na mlipuko wa virusi hivyo. Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa wiki iliyopita, Apple imetengaza kufunga maduka yake hayo pamoja […] More
Soma Zaidi : Apple Kufunga Ofisi na Maduka China Sababu ya Coronavirus