Hatimaye mkutano mkubwa wa teknolojia MWC 2020 ambao hufanyika kila mwaka umetangazwa kusitishwa kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa ripoti kutoka kwenye tovuti ya GSM ambao ndio waandaji wa mkutano huo, kusitishwa kwa mkutano huo kumetokana na mlipuko wa virusi vya corona ambavyo vilianzia nchini China. Mapema mwezi huu, kampuni mbalimbali za teknolojia zilitangaza kujitoa […] More
Soma Zaidi : Mkutano wa MWC 2020 Watangazwa Kusitishwa kwa Mwaka Huu