Kampuni ya simu za mkononi TECNO imezindua duka kubwa la simu, maarufu Smarthub jijini Arusha ambalo linatoa huduma mbalimbali. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa duka hilo mwishoni mwa wiki, Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Bw. Benjamin Maneno ambaye pia alikuwa ndiye mgeni rasmi, alisema. “Kwa karne tuliyofikia hivi sasa, matumizi ya smartphone […] More
Soma Zaidi : TECNO Yafungua Smarthub Duka Kubwa la Kisasa Arusha