Bado taarifa za virusi vya corona zinaendelea kuchukua vichwa vya habari mbalimbali duniani kote, na wakati vifo vikiendelea kuongezeka, ugonjwa huo umeonekana kuadhiri teknolojia kwa kiasi kikubwa sana. Ikiwa ni takribani robo ya kwanza ya mwaka huu 2020, tayari kampuni mbalimbali za teknolojia duniani kote zimeonekana kufanya mabadiliko makubwa kutokana na ugonjwa huo, mabadiliko ambayo […] More
Soma Zaidi : Jinsi Virusi vya Corona Vinavyo Athiri Teknolojia Mwaka 2020