Ni kweli kwamba kuna baadhi ya watu hadi sasa bado hawana simu za mfumo wa Android, hii inatokana na baadhi ya watu hao kutumia simu za mfumo wa iOS na hivyo kukosa mengi yanayo endelea kwenye mfumo wa Android. Lakini huna haja ya kukosa chochote kwani siku ya leo nitaenda kuonyesha hatua kwa hatua jinsi […] More
Soma Zaidi : Tumia Android Kwenye Kompyuta Bila Ku-install