Serikali ya Australia imetangaza uzinduzi wa App mpya ya COVIDSafe app ambayo inasemekana kuwa na uwezo wa kutambua wagonjwa wa corona kwa kutumia smartphone. App hiyo mpya ambayo imezinduliwa hapo jana, hadi sasa tayari imesha pakuliwa kwa zaidi ya mara milioni moja huku raia wa nchi hiyo wakionyesha kufurahia kuwepo kwa app hiyo. Kwa mujibu […] More
Soma Zaidi : Australia Yazindua App ya Kutambua Wagonjwa wa Corona