Kampuni ya Apple, hivi leo imetangaza kupanua upatikanaji wa huduma zake kwenye nchi mbalimbali ikiwemo huduma ya Apple Music ambayo kuanzia leo itakuwa inapatikana pia hapa nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Apple, huduma nyingie ambazo zimepanuliwa ni pamoja na huduma za Apple Arcade, Podcasts na iCloud ambazo zote zitakuwa zinapatikana barani afrika kwenye nchi za […] More
Soma Zaidi : Hatimaye Apple Yaleta Huduma ya Apple Music Nchini Tanzania