Jumatano, 29 Aprili 2020

Jiandae na Infinix NOTE 7 Hapa Nchini Tanzania (Bigi Makini)

Kampuni pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu Infinix NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 6.95 inch na uwezo mkubwa wa camera 48MP na processor ya G70 kutoka Mediatek. Processor yenye speed ya G70 inauwezo mkubwa wenye  kuwezesha […] More

Soma Zaidi : Jiandae na Infinix NOTE 7 Hapa Nchini Tanzania (Bigi Makini)