Jumatatu, 6 Aprili 2020

Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)

Kuna madai kwamba Infinix S5 Pro imechelewa kufika kwenye soko la Tanzania, chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, sasa katika kuleta usawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona ni vyema wadau wa simu za Infinix hapa Tanzania kupokea Infinix S5 Pro yenye sifa bora zaidi kuliko simu za Infinix S5 […] More

Soma Zaidi : Jiandae na Infinix S5 Pro Hapa Tanzania (10 April 2020)