Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imezindua rasmi simu yake mpya CAMON 15 ambayo imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo kamera ya nyuma yenye MP 64 na mbele MP 32 ambayo imewekewa teknolojia kubwa yenye uwezo wa kupiga picha mahali popote na wakati wowote. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hiyo wiki hii jijini Dar es […] More
Soma Zaidi : Kampuni ya TECNO yazindua CAMON 15 Hapa Tanzania