Jumamosi, 18 Aprili 2020

Kampuni ya TECNO yazindua CAMON 15 Hapa Tanzania

Kampuni ya simu za mkononi  ya TECNO, imezindua  rasmi simu yake mpya CAMON 15 ambayo imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo  kamera ya nyuma yenye MP 64 na mbele MP 32 ambayo imewekewa  teknolojia  kubwa yenye uwezo wa kupiga picha mahali popote na wakati wowote. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hiyo wiki hii jijini Dar es […] More

Soma Zaidi : Kampuni ya TECNO yazindua CAMON 15 Hapa Tanzania