Kampuni za kutoa huduma za simu za Vodacom na Safaricom zimetangaza kuwa zimekamilisha kwa pamoja ununuzi wa chapa ya M-Pesa ikiwa pamoja na bidhaa huduma za msaada za M-Pesa kutoka kampuni ya Vodafone. Kwa mujibu wa Forbes, ununuaji huu uliripotiwa mwaka jana 2019, ambapo walitaka kununua haki za M-Pesa kwa zaidi ya shilingi za kitanzania […] More
Soma Zaidi : Vodacom na Safaricom Zanunua M-Pesa Kutoka Vodafone