Jumatatu, 13 Aprili 2020

WHO Yatangaza Ujio wa Apps Mpya Kwaajii ya COVID-19

Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya virusi vya corona, shirika la Afya duniani WHO lime endelea kuangalia njia nyingine mpya za kufikisha habari na elimu kwa jamii kwa kutumia teknolojia. Kwa mujibu wa tovuti ya 9to5google, hivi karibuni WHO imetangaza kuja na apps zake za Android pamoja na iOS ambazo zitasaidia kufikisha ujumbe kwa […] More

Soma Zaidi : WHO Yatangaza Ujio wa Apps Mpya Kwaajii ya COVID-19