Jumanne, 5 Mei 2020

Infinix Yazindua Simu Mpya ya Infinix NOTE 7 Hapa Tanzania

Kupitia kurasa zao pendwa za mitandao ya kijamii @infinixmobiletz kampuni ya simu ya Infinix imezindua rasmi sifa za simu mpya aina ya Infinix NOTE 7 au unaweza iita BIGIMAKINI. Infinix NOTE 7 ni simu yenye sifa lukuki zenye kuvutia kuanzia umbo lake kubwa lenye upana wa kioo cha nchi 6.95 na megapixel 48 kamera pamoja […] More

Soma Zaidi : Infinix Yazindua Simu Mpya ya Infinix NOTE 7 Hapa Tanzania